Nili jaribu ku fanya kazi ambayo nilipaswa kufanya. Siku amini Nini lita tokeya ila nili jaribu. Achukuriwe Mungu ambaye, Ali wayi kunipa kazi hii na kazi Hii, ina nileteya fahida. Kwa kuwa Siku wayi ku fanya ayo mwanzo. Mwanzo nili jikataliya sana. Lakini sasa na jaribu ku fanya Yale nilipenda ku fanya kutoka Kwa Baba Mungu. Ongera sana Kwangu mimi mwenye nili wahii Kujaribu kazi ya bwana Mungu. 🙏♥️♥️ MAVUNO NI MINGI ILA WA TUMISHI NI WA DOGO SANA. KWA HIYO YEHOVA MUNGU ANANITUMA ILI NIMUTUMIKIYE.
No comments at this point, please be the first to comment on this post.